.jpeg)
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh. Aswege Enock Kaminyoge siku ya tarehe 25/3/2025 amefanya kikao kazi na viongozi wa Halmashauri zote mbili pamoja na wa taasisi za serikali zilizopo katika Wilaya ya Bunda.Mh.Kaminyoge alisema lengo kuu la kikao hiki ni kujitambulisha kwenu nikiwa ndiye Mkuu wa Wilaya hii baada ya mabadiliko yaliyofanywa na Mh. Rais siku chache zilizopita, na pia kuwatambua nyie viongozi wote mliopo mahali hapa, pamoja na kuomba ushirikiano wenu ili tuweze kufanya kazi kwa pamoja na ushirikiano katika kuhakikisha tunawaletea wananchi wa Wilaya hii maendeleo na kuhakikisha wanaishi kwa amani, furaha na usalama.Katika kikao hicho viongozi...