Home » » [VIDEO] Wanawake waoa wake wenzao Tanzania

[VIDEO] Wanawake waoa wake wenzao Tanzania

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.



Katika mila, desturi na utamaduni wa makabila mengi muundo wa familia hasa ndoa hutofautiana, wakati nyingi zikiwa zikisihirikisha mwanaume na mwanamke, katika mkoa wa Mara, wilaya ya Tarime, kaskazini mwa Tanzania, utamaduni wa enzi unahusisha wanawake kuwaoa wanawake wenzao. Mwandishi wa BBC ,Tulanana Bohea anatuarifu zaidi namna muundo wa familia mbadala wa Nyumba ntobhu umebadilika na kuwa wa kisasa zaidi.
BBC

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa