Home » » Just in: Ndege ya Safari Express yaanguka kwenye hifadhi ya Serengeti, yawaka moto na kuua watu wote waliokuwa ndani

Just in: Ndege ya Safari Express yaanguka kwenye hifadhi ya Serengeti, yawaka moto na kuua watu wote waliokuwa ndani

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mabaki ya Ndehe hiyo

Ndege hiyo iliyoruka kutokea Mwanza jana jumapili ilikuwa na abiria watatu ilikuwa itue eneo la Magadi nchini Kenya kutokea Mwanza.

Ilipotea tangu jana ambapo leo imekutwa imeanguka katika eneo la mbuga ya Serengeti na watu watatu waliokuwepo kupoteza maisha  baada ya kuungua vibaya.

Tutakuletea habari zaidi kadri tunavyozipata

Chanzo: Harakati News

The Safari Express plane that had gone missing was Monday found crashed at Serengeti National Park in Tanzania, killing all the three occupants. The aircraft was headed for Magadi in Kenya from Mwanza, Tanzania when it crashed on Sunday night.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/article/2000133441/missing-safari-express-plane-found-crashed-in-serengeti/

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa