Home » » NEWS ALERT HABARI YA KUSIKITISHA: AJALI YAUA ZAIDI YA 50 LEO MUSOMA NI MABASI YA MWANZA COACH NA JUMANNE, TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

NEWS ALERT HABARI YA KUSIKITISHA: AJALI YAUA ZAIDI YA 50 LEO MUSOMA NI MABASI YA MWANZA COACH NA JUMANNE, TUNAOMBA RADHI KWA PICHA



 Mabasi hayo yakiwa yamegongana



Basi la Jumanne lililokuwa linatoka Sirari kwenda Mwanza limegongana uso kwa uso na basi la Mwanza coach lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Musoma. Ajali imetokea katika eneo la daraja la sabasaba, Musoma.  Endelea kufuatilia 
Maelezo kwa Mujibu wa Father Kidevu blog

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.


1 comments:

AMINA said...

Wapumzike kwa amani marehemu wote

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa